Tuesday, 30 October 2018

UMUHIMU WA KUTOA ZAKA/FUNGU LA KUMI.


• Kutoa zaka huleta Kuinuliwa.
• Kutoa zaka huleta fadhili.
• Kutoa zaka husababisha kuja msaada kutoka ulimwengu wa roho ili kukusaidia.
• Kutoa zaka huleta nguvu ya kuwezeshwa.
• Kutoa zaka hutoa Suluhisho.
• Kutoa zaka hulera kuongezeka kichumi.
• Kutoa zaka huleta maisha ya muda mrefu.
• Kutoa zaka huleta kuinuka.
• Kutoa zaka huleta baraka.
• Kutoa zaka huleta Ulinzi.
• Kutoa zaka huleta ukuaji kiroho na kiuchumi.
• Kutoa zaka huleta msamaha.
• Kutoa zaka huleta matunda mema.
• Kutoa zaka hufungua milango ya ushindi ya baraka zako ili milango hiyo ibaki wazi.
• Kutoa zaka hutoa shuhuda.
• Kutoa zaka huleta fursa.
• Kutoa zaka hufungua mbingu na kuzifanya ziwe wazi kwako.
• Kutoa zaka huleta kuonekana kiroho.
• Kutoa zaka huleta ziada za kutosha.
MAUMIVU YA KUTOKUTOA ZAKA.
• Kutokutoa zaka kunaleta Machozi.
• Kutokutoa zaka kunaleta kuabika.
• Kutokutoa zaka kunakuletea madhara katika kazi yako.
• Kutokutoa zaka kunaleta roho za ajali kwako.
• Kutokutoa zaka kunaleta Kukataliwa.
• Kutokutoa zaka kunaleta shutuma.
• Kutokutoa zaka kunashusha viwango vya kiroho.
• Kutokutoa zaka kunaleta upinzani wa Shetani kwako.
• Kutokutoa zaka kunafungua milango ya shetani kukuonea.
• Kutokutoa zaka kunaleta Ahadi njema kufa au Kushindwa kutimia.
• Kutokutoa zaka huleta nguvu ya uharibifu kwenye ndoa yako au biashara yako, au afya yako au uzao wako.
Malaki 3:10-12.
KUHUSU ZAKA.
• Sio Uamuzi wa Wachungaji.
• Sio Mafundisho ya Kidini tu.
• Sio Ufanisi wa Kidini.
• Sio Maagizo ya wachungaji.
Bali kutoa zaka ni Njia ya agano ya kuingia katika wingi kiroho.
Kama unakijua kifungo cha umasikini, chanzo kimojawapo cha kifungo hicho ni Kutokutoa zaka na dhabihu.
Kama unaifahamu laana ya umasikini, chanzo cha laana hiyo ni Kutokutoa zaka na dhabihu. Hakikisha ndugu unakuwa mtoaji ambaye matoleo yako yanaambatana na maombi.
Mithali 11:24 '' Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji. ''
Andiko hili katika tafasiri ya BHN Biblia inasema hivi ''
Atoaye kwa ukarimu huzidi kutajirika; lakini bahili huzidi kudidimia katika umaskini.''
Naamini umejifunza.
MUNGU akubariki.

Mtenda kazi katika shamba la MUNGU

No comments:

Post a Comment

KAZI KUU TANO (5) ZA IMANI KATIKA MAOMBI.

Bwana YESU atukuzwe ndugu zangu. Karibu tujifunze Neno la MUNGU. Uhusiano ni upendo unaozaa ushirikiano na mawasiliano kati ya pande m...