Ikiwa twajiita tumeokoka na bado twatenda dhambi basi tunahitaji sana rehema za Mungu.
Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu. Hamna lugha nyingine ya kusema lakini huu ndiyr ukweli. Mungu na dhambi havichangamani.
Bwana asema heri kuwa moto au baridi. Ila ukiwa vuguvugu mwenyewe amesema atakutapika. Maanake nini? Mungu hana utani na dhambi mpendwa. Iko ghadhabu ya Mungu dhidi ya dhambi. Mungu hawezi kuchekelea uovu tunaoufanya. Hakika atatuadhibu.
Kila alitajaye jina la Bwana Yesu na auache uovu.
Kila alitajaye jina la Bwana Yesu na auache uovu.
Mwenye masikio na asikie

No comments:
Post a Comment