Thursday, 18 October 2018

4. ILI TUWEZE KUMWONA MUNGU KATIKA MAIMSHA YETU NI LAZIMA TUMTENGEE MUNGU MADHABAHU



•    Mwanzo 28: 10-15 Yakobo alipokuwa anamkimbia ndugu yake Esau anakutana na
malango ya mbinguni mahali alipolala aliona ngazi na Malaika wanapanda na kushuka.
•    Madhabahu inafungua malango ya Mbinguni.
Unapomjengea Mungu Madhabahu katika maisha yako unafungua malango ya Mbinguni kwa kuweza wewe kuwasiliana na Mungu.
•    Shetani naye huiga vitu vya Mungu.
Unapokuwa na madhabahu ya shetani, na yenyewe ina malango yake na yeye kuweza kukutumia ipasavyo.
•    Babu zetu walikwenda kwa shetani kufanya agano naye.
Isaya 28:15 Tunafanya agano na mauti na kupatana na kuzimu.
•    Unapoenda kwenye Madhabahu ya shetani kuna karama zake: Ulevi, wizi, uasherati na uzinzi, uchawi, uongo, masengenyo n.k.
•    Shetani ameiga vitu vingi vya Mungu.
Mungu alimwambia Ibrahimu amtoe mtoto wake sadaka na shetani anawaambia watu watoe watoto sadaka.
•    Fanya utafiti katika maisha yako ni mambo gani magumu ambayo yameshika maisha yako.
•    Fanya utafiti katika maisha yako na familia yako walikuwa wanafanya mambo gani katika ukoo wenu.
•    Kuna mambo magumu katika ukoo wenu ambayo hayafunguki
•    Mfano: Kutokuolewa au kuoa, kutokufanikiwa, magonjwa n.k.
Kutoka 20: 1-6
2Falme 17:17
•    Ni muhimu kuingia katika toba na kufunga na kuomba. Muulize Mungu katika mambo yaliyo magumu.
•    Toba ndiyo mlango wa kutokea,
•    Anza na toba, Toba inafungua malango.

No comments:

Post a Comment

KAZI KUU TANO (5) ZA IMANI KATIKA MAOMBI.

Bwana YESU atukuzwe ndugu zangu. Karibu tujifunze Neno la MUNGU. Uhusiano ni upendo unaozaa ushirikiano na mawasiliano kati ya pande m...