Friday, 14 September 2018
PUMZI YA MWANADAMU NI TAA YA MUNGU.
Je! Ni wapi uwezapo kutenda dhambi na Mungu asikuone? Je! Waweza kuishi pasipo kuvuta pumzi?
Biblia Takatifu inasema kwamba;
"Pumzi ya mwanadamu ni taa ya BWANA; Hupeleleza yote yaliyomo ndani yake." (Mithali 20:27)
Mpendwa; kila unapopumua Mungu anakuona, hata ujifiche gizani bado tu Mungu anakuona; Je, ni nani awezaye kuishi bila kupumua? Kila uvutapo pumzi, Mungu anakuona; na kupitia hiyo pumzi yako Mungu anapeleleza mambo yote ufanyayo.
Jitahidi kila wakati unatenda mambo yampendezayo Mungu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAZI KUU TANO (5) ZA IMANI KATIKA MAOMBI.
Bwana YESU atukuzwe ndugu zangu. Karibu tujifunze Neno la MUNGU. Uhusiano ni upendo unaozaa ushirikiano na mawasiliano kati ya pande m...
-
Bwana YESU atukuzwe ndugu zangu. Karibu tujifunze Neno la MUNGU. Uhusiano ni upendo unaozaa ushirikiano na mawasiliano kati ya pande m...
-
Bwana Yesu asifiwe… Imeandikwa ; “ Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; “Y...
-
Ni miaka mingi nimekuwa nikijiuliza swali hili, nitawezaje kumpenda Mungu kwa moyo wangu wote, kwa akili zangu zote na kwa nguvu zangu zote...

No comments:
Post a Comment