Wednesday, 18 July 2018

USHUHUDA Mzuri.

Mtumishi tokea uliponiombea juzi kupiga upofu wachawi yaani nalala usiku vizuri, hakika wamepigwa upofu maana walikuwa wananisumbua sana na kunifuatilia hadi nikawa naamka saa saba usiku nawasha taa. Ila shetani ameaibika na jeshi lake. Namshukuru Mungu sana kwa kunishindia pia namshukuru Mungu sana kwa kukupa kibali na wewe mtumishi wake kutumika shambani mwake. sifa na utukufu mamrudishia Mungu kwenye kiti chake cha enzi mbinguni.

No comments:

Post a Comment

KAZI KUU TANO (5) ZA IMANI KATIKA MAOMBI.

Bwana YESU atukuzwe ndugu zangu. Karibu tujifunze Neno la MUNGU. Uhusiano ni upendo unaozaa ushirikiano na mawasiliano kati ya pande m...